AFRICHINA AND RUMAFRICA DESTINATION INVESTMENT LIMITED

BRIEF INTRODUCTION.

BRIEF INTRODUCTION.

Africhina Destination Investment Limited was conceived since 2005 in Guangzhou (People Republic of China). It is a privately owned company with its scope in, design and printing, procurement agency, general supply and logistics.

The company was officially registered in Tanzania as a Limited Liability Company and incorporated under the Company Act 2002 with Incorporation Certificate No. 63114. The company is registered with Tanzania Revenue Authority (TRA) and issued with Certificates; Tax Identification Number (TIN) 106-300-275, VAT Registration Number (VRN) 40-001202-C, also hold valid business license B No.01129901, 01129695 and 01095203 for Procurement Agency, Printing and Textile products respectively.

 

Professional expertise, experience in both local, international market and sources gave us unique competitive edge in terms of price, quality and delivery time. Working together with our customer as one team/partner instead of working for them also has added greet satisfaction to all our esteemed customer, especially when it come to the need to design particular product to meet special requirement.

Sunday, May 20, 2012


FADHAGET SANITARIUM CLINIC CD KUPATIKA SASA-Dr. Fadhili Emily
Dokta Fadhili amesema sasa unaweza kupata mafundisho kuhusiana na huduma za tiba zinazotolewa na Sanitarium Clinic iliyoko Mbezi Beach Tangi Bovu, Tandika Majaribio-Dar es Salaam Tanzania

Amewaomba watu wote kununua CD hii ili uweze kujifunza ni jinsi gani unaweza ukatibiwa magonjwa sugu kwa njia ya mimea na matunda.

Kama ungependa kujua zaidi jinsi ya kupata hizi CD, tafadhali wasiliana nasi kwa mawasiliano yaliyopo katika CD hapo chini:-




CD case imetengenezwa na Rulea Sanga +255 715 85 15 23 | rumatz2011@yahoo.com | www.rumaafrica.blogspot.com
UZINDUZI WA ALBUM YA "USILIE" YA THE VOICE OF HEALING CHOIR YA CHUO CHA MZUMBE-MOROGORO KUFANYIKA LEO 18 MEI 2012 CHUONI HAPO

Uzinduzi huo utaanza saa 8:00 usiku katika chuo cha Mzumbe kwa lengo la kuzindua albamu yao ya pili ya Usilie.

Mgeni rasmi atakuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Mh. Mtata ambaye ni mheshimiwa. mwenye umri mdogo sana, na inasemekana hata miaka 30 hajafikisha na siku mbili tatu zimepita tanguia ameteuliwa na raisi kuwa Mkuu wa Wilaya Kilombero. Na hii ndiyo kazi yake ya kwanza tangia aingie madarakani. "Chini ya Kapeti-Bado hajaoa" na kingine ni kwamba amesoma katika chuo hicho cha Mzumbe.

Wageni wengine watakaokuwepo ni Waziri wa Mambo ya Ndani Dk. Emmanuel Nchimbi, Mtangazaji wa ITV, Godwin Gondwe, Waandishi wa Habari , Afisa Tawala wa Wilaya, Mwambeni, Blogger wenu Rulea sanga na wengine wengi.

Kumbuka mshereheshaji wa shughuli hiyo ni Mchungaji Haris Kapiga na mtangazaji wa redio ya Clouds FM jijini Dar es Salaam

Vifaa vya muziki ni kutoka katika kikundi cha Glorious Celebratio kilichoko Dar es Salaam, chini ya Askofu Mwakanga'ta wa kanisa la The Victory Church.

Mpigaji picha na atakyerusha habari zote ni Blogger na Graphic Designer, Rulea Sanga ambaye ni meneja masoko wa Glorious Celebration

Kutakuwa na waimbaji mbalimbali kama Sarah ambaye ni mwanafunzi katika chuo cha biashara India, Glorious Celebration, Wanachuo cha Mzumbe na wengine wengi

GLORIOU CELEBRATION WAKIWA SAFARINI KUELEKEA MOROGORO KUWASINDIKIZA NDUGU ZAO KATIKA UZINDUZI.

Ngoja tuone safari nzima ya watumishi wa Mungu, Glorious Celebration
Blogger Rulea Sanga wa pili kutoka kulia nikijiongezea maarafa kwa kujisoma kitabu cha Nabii TB Joshua "The Mirror"
Blogger na Graphic Designer, Rulea Sanga nikiwa na GC maeneo ya Morogoro Stand
Mpoki wa Ze Commedy alitubamba Morogoro Stand
Blogger Rulea Sanga nikiwa kazini
Nice (kushoto) na Davina (kulia)
Glorious wakiangalia tangazo la tamasha Mzumbe
Angel Bernard (kushoto) na Mercy wakiwa ndani ya ukumbi
Emmanuel Mabisa (kushoto) na Sarah Shilla
Chaka akirekebisha mitambo (Technician wa Glorious Celebration)
Mwimbaji wa Glorious Celebration, Paul akijaribu MIC
Technician wa Glorious Celebration, Aron akihakikisha mitambo inaenda sawa

Wapigaji gitaa wa Glorious Celebration wakiihakikisha mambo yanaenda sawa

KABLA YA YOTE MISOSI ULIPEWA KIPAUMBELE SANA
 Graphic Designer na Blogger wenu, Rulea Sanga sikuwa mbali sana na kitu cha Mbeya
 Waimbaji wa Glorious Celebration (GC), Kulia na Immanuel Malisa
Waimbaji wa Glorious Celebration David (kushoto) na Paul
KAZI IKAANZA
---------------------------------------
THE VOICE OF HEALING CHOIR WAKIINGIA UKUMBINI
 The Voice of Healing Choir wakiingia ukumbini kwaajili ya uzindizi wa albamu yao ya Usilie Vol 2




Kwaya ya wanachuo-Mzumbe











 Mwimbaji wa nyimbo za injili anayesoma India, Sarah...hakukosa usiku huo

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero ambaye alikuwa mgeni rasmi, Mh. Mtata akiipita risala iliyosomwa na mmoja wa waimbaji wa The Voice of Healing Choir

waziri wa mambo ya ndani, Nchimbi akisalimia na mmoja wa wachungaji katika kipindi cha kuizindua albamu hiyo na kuiombea

 Mshereheshaji Haris Kapiga akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Ndani, Dr Nchimbi kipaza
 Kulia ni mtangazaji wa ITV, Godwin Gondwe akimsikiliza mgeni rasmi

 Maombezi yakiendelea
 Wana kwaya ya The Voice of Healing wakiwa katika maombezi
 Wanachuo wakiwa katika maombi
Glorious Celebration wakioombea albamu ya Usilie


Baada ya maombezi wageni rasmi wakiwa wanaangalia uimbaji

Mkuu wa Chuo Cha Mzumbe


Kutoka kulia ni Davina, Nice, Mercy, Angel
Paul aki-lead
Mtalamu wa Drumkatika kikundi cha GC
Imma solo akisaka Solo