AFRICHINA AND RUMAFRICA DESTINATION INVESTMENT LIMITED

BRIEF INTRODUCTION.

BRIEF INTRODUCTION.

Africhina Destination Investment Limited was conceived since 2005 in Guangzhou (People Republic of China). It is a privately owned company with its scope in, design and printing, procurement agency, general supply and logistics.

The company was officially registered in Tanzania as a Limited Liability Company and incorporated under the Company Act 2002 with Incorporation Certificate No. 63114. The company is registered with Tanzania Revenue Authority (TRA) and issued with Certificates; Tax Identification Number (TIN) 106-300-275, VAT Registration Number (VRN) 40-001202-C, also hold valid business license B No.01129901, 01129695 and 01095203 for Procurement Agency, Printing and Textile products respectively.

 

Professional expertise, experience in both local, international market and sources gave us unique competitive edge in terms of price, quality and delivery time. Working together with our customer as one team/partner instead of working for them also has added greet satisfaction to all our esteemed customer, especially when it come to the need to design particular product to meet special requirement.

Monday, April 2, 2012

ROBBEN KUONGEZA MKATABA BAYERN

Robben
WINGA Mholanzi wa Bayern Munich, Arjen Robben anajiandaa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuwatumia Tha Bavaria hadi utakapofanyika uchaguzi mwingine wa Tanzania, mwaka 2015, hiyo ni kwa mujibu wa gazeti la kila siku la Ujerumani, Bild leo.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 28, ambaye alisaini timu hiyo akitokea Real Madrid Agosti mwaka 2009, mkataba wake wa sasa ni hadi mwaka 2013, lakini kwa mujibu wa gazeti hilo la Ujerumani, atasaini kurefusha mkataba wake mwishoni mwa mwezi huu utakaomfanya aendelee kuishi Jiji la Munich kwa angalau miaka mitatu zaidi.

Anatarajiwa kusaini mkataba mpya baada ya mechi ya mwisho ya Bayern ya ligi nyumbani msimu huu dhidi ya VfB Stuttgart, Aprili 28.
Robben amekuwa kwenye kiwango kizuri Bayern akifunga mabao 11 katika ligi ya Ujerumani na matatu katika Ligi ya Mabingwa.

Alifunga bao la ushindi dhidi ya Nuremberg Jumamosi, ambalo linaifanya Bayern ibaki inazidiwa pointi tatu na vinara wa Bundesliga, Dortmund.
Na bao lake la kipindi cha pili liliipa Bayern ushindi wa 2-0 katika Robo Fainali ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Marseille Jumatano iliyopita na kuitengenezea klabu hiyo ya Ujerumani mazingira ya kutinga Nusu Fainali kuelekea mechi ya kesho ya marudiano mjini Munich.
Kocha wa Bayern, Jupp Heynckes amesema leo kwamba anatarajia "kwamba Arjen atasaini " ofa huyo ya Munich hivi karibuni.

"Nafikiri ameonyesha tena ni kiasi muhimu kwa Bayern. Ni mchezaji wa timu. Ambayo inamfanya awe mchezaji mwenye thamani sana kwetu," alisema Heynckes.
Kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya habari Ujerumani siku za karibuni kuhusu maelewano mabaya kati ya Robben na Heynckes, na nyota huyo wa Uholanzi alisema amekaa sana benchi msimu huu.

Rais wa zamani wa Bayern, Franz Beckenbauer pia alimkandia Robben kwenye Televisheni.
Mwanzoni mwa Februari, Robben aliachwa kwenye kikosi kilichoshinda 2-0 dhidi ya Stuttgart katika Kombe la Ujerumani na pia akakosa mechi mbili nyingine za ligi akiwa benchi.
Robben alinukuliwa na gazeti la Uholanzi Nusport akisema kwamba alikuwa ana wakti mbaya sana akikaa benchi.

Leo, Heynckes ameyapuuza maneno hayo akisema kwamba hajayasikia moja kwa moja kutoka kwa Robben na kusema kwamba yuko vizuri sana na mchezaji huyo

No comments:

Post a Comment